Skip to main content

NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MAFIA



Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Mafia anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi moja (1) ya Mtendaji wa Kijiji.

1. SIFA ZA MWOMBAJI

Mhitimu wa Kidato cha Nne / Sita wenye Cheti/ Stashahada NTA Level 5 katika moja ya fani zifuatazo:
  • Utawala
  • Maendeleo ya Jamii
  • Usimamizi wa Fedha
  • Sayansi ya Sanaa na Sheria.

Wawe wamesoma vyuo vinavyotambulika na Serikali.

2. MSHAHARA

Mshahara unaanza na Ngazi ya TGS B.

3. MAJUKUMU YA KAZI

i. Afisa Masuuli na Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Kijiji;

ii. Kusimamia Ulinzi na Usalama wa Raia na mali zao, kuwa mlinzi wa amani na

msimamizi wa Utawala Bora katika Kijiji;

iii. Kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa mipango ya Maendeleo ya

kijiji;

iv. Kuratibu mikutano na Kamati zote za Halmashauri ya Kijiji;

v. Kutafsiri na kusimamia Sera, Sheria na taratibu za uendeshaji wa Serikali ya

Kijiji;

vi. Kuandaa taarifa za utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha

wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa, umaskini,

na kuongeza uzalishaji mali;

vii. Kiongozi wa wakuu wa vitengo vya kitaalamu katika Kijiji;

viii. Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na nyaraka za Kijiji;

ix. Mwenyekiti wa Kikao cha wataalamu waliopo katika Kijiji;

x. Kupokea, kusikiliza na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi;

xi. Kusimamia utungaji wa Sheria ndogo za Kijiji; pamoja na

xii. Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.

CLICK HERE TO READ IN FULL DETAILS AND APPLY

Comments

Popular posts from this blog

NAFASI ZA KAZI MPYA UNICEF (Re- Advertisement): Temporary Appointment - Health (Financing) Specialist P3 Tanzania

APPLY NOW Job no:   576667 Contract type:   Temporary Appointment 💥 TAZAMA NAFASI MPYA UNICEF SENIOR OPERATIONS ASSOCIATIONS Duty Station:   Dar-es-Salaam Level:   P-3 Location:   United Republic of Tanzania Categories:   Health Deadline: 10 Nov 2024 11:55 PM UNICEF works in over 190 countries and territories to save children’s lives, defend their rights, and help them fulfill their potential, from early childhood through adolescence. At UNICEF, we are committed, passionate, and proud of what we do. Promoting the rights of every child is not just a job – it is a calling. UNICEF is a place where careers are built: we offer our staff diverse opportunities for personal and professional development that will help them develop a fulfilling career while delivering on a rewarding mission. We pride ourselves on a culture that helps staff thrive, coupled with an attractive compensation and benefits package. Visit  our website  to learn more about what we ...

Tangazo la Nafasi Za Kazi Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST)

  Apply Now Apply Now/Omba sasa nafasi hizi za kazi

Tech-Driven Conservation: Protecting the Congo Basin Rainforest

The Congo Basin rainforest, the world’s second-largest tropical forest, plays a crucial role in global biodiversity and climate regulation.  Spanning over 500 million acres, it is home to diverse wildlife, including gorillas, forest elephants, and rare plant species.  Additionally, the rainforest acts as a major carbon sink, helping mitigate climate change. However, illegal logging, mining, and agricultural expansion pose significant threats to this fragile ecosystem. Technology is emerging as a powerful tool in the fight against deforestation and habitat destruction.  Advanced satellite imagery and AI-powered monitoring systems are being used to track illegal activities in real time, allowing conservationists to respond swiftly to environmental threats.  Drones are also being deployed for aerial surveillance, capturing high-resolution images to assess forest health and detect deforestation hotspots. Blockchain technology is revolutionizing supply chain transparency,...