Skip to main content

Posts

Showing posts from August, 2021

Awamu ya Pili ya Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021

  Wanafunzi 4,105 wamechaguliwa kujiunga kidato cha tano kwa mwaka huu katika uchaguzi wa awamu ya pili kutokana na waliochaguliwa awamu ya kwanza kutoripoti kwenye shule walizopangiwa. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Prof.Riziki Shemdoe, wakati akitangaza matokeo ya uchaguzi wa awamu ya pili mbele ya waandishi wa habari jijini Dodoma. Prof. Shemdoe amesema kuwa kati ya wanafunzi waliochaguliwa, wanafunzi 499 (wavulana 424 na wasichana 75) wamepangiwa tahasusi za Sayansi na Hisabati na wanafunzi 3,604 wakiwemo wavulana 3,461 na wasichana 143 wamepangiwa tahasusi za masomo ya Sanaa na Biashara. Amebainisha kuwa upangaji wa awamu ya pili umefanyika baada ya Wizara kujiridhisha na nafasi zilizo wazi katika shule ambazo wanafunzi hawakuripoti. “ Kwa kuangalia idadi ya wasichana waliopangiwa kujiunga na kidato cha tano awamu ya pili imekuwa ndogo, hii ni kwa sababu katika uchaguzi wa awamu ya kwanza wanafunzi wote wasi...

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI EWURA CCC

  Bonyeza link hapa chini👇🏾👇🏾👇🏾Kutazama majina yote yaliyoitwa kwenye udahili CLICK HERE

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MWANGA DC

  Bonyeza link hapa chini👇🏾👇🏾👇🏾Kutazama majina yote Click Here...

Habari Zilizopo Magazetini Leo Jumapili Agosti 15, 2021

 

NEW JOBS VACANCIES AT THE CENTRE FOR FOREIGN RELATIONS (CFR) AND HESLB

On behalf of The Centre for Foreign Relations (CFR) and Higher Education Student’s Loans Board (HESLB), Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) invites dynamic and suitable qualified Tanzanians to fill 2 vacant posts mentioned below. 1.0 THE CENTRE FOR FOREIGN RELATIONS (CFR) The Centre for Foreign Relations was established on 13th January 1978, by an Agreement between the governments of the United Republic of Tanzania and the Republic of Mozambique, signed by the then Ministers for Foreign Affairs of Tanzania and Mozambique, Benjamin William Mkapa and Alberto Joaquim Chissano. The Centre was registered and was awarded Full Accreditation by the National Council for Technical Education (NACTE) on 30th July 2013. The accreditation from NACTE ensures that the programmes offered by the Centre are recognized within Tanzania and outside the country. The Centre has also been incorporated in the Consular and Diplomatic Immunities and Privileges Act No. 5 1986 hence, it enjoys a diplomati...

Teaching Jobs at St Constantine International School Arusha, Tanzania

Teaching Jobs at St Constantine International School Arusha, Tanzania St. Constantine International School (SCIS) is a non-denominational, co-educational, day and boarding, international school. We are a Cambridge International School. We follow the English Curriculum starting with the EYFS programme in Early Years, and then using the Cambridge International Programme from Years 1 to 9. In Years 10 and 11 students study the Cambridge IGCSEs and in Years 12 and 13 they study the A-level programme. We are also proud members of Round Square. We currently serve 600 students (including 80 boarders) from over 30 different countries. SCIS is the oldest international school in Tanzania and is the largest international school in northern Tanzania. Our Main (Burka) Campus has gorgeous gardens and playing fields, sitting in beautiful tree-lined surroundings under Africa’s 5th highest mountain, Mount Meru, on the world-class northern game park circuit. Our smaller Town Campus, which runs par...

Jobs Opportunities at Halotel Tanzania

Employment Opportunities at Halotel Tanzania Halotel is a mobile communications company that provides voice, messaging, data, and communication services. It is based in Dar es Salaam, Tanzania.Viettel Tanzania Public Limited Company, trading as Halotel, is a mobile communications company, providing voice, messaging, data and communication services in Tanzania. JOB TITLE: System Administrators- 2 Posts Place of work: Head quarter at Dar es salaam. Job summary Under the general supervision, Systems Administrator works as part of the Information Technology Services Team to maintain all applications and services. Performs other related duties. Responsibilities; Ensure availably of services and its performance. Troubleshooting & resolving problems related to services . Provide support to business unit regarding reports other related issues Implementing new technologies. Work with vendors in the process of troubleshooting escalated incidents Work with vendors in the research, developm...

Hii Ndio Orodha ya Vituo Vyote Vya Kutolea Chanjo Mikoa Yote Tanzania

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeanza kufanya usambazaji wa chanjo za UVIKO-19 katika mikoa yote hapa nchini. Ugawaji wa chanjo umezingatia taarifa ya visa vya wagonjwa waliohisiwa kuwa na UVIKO-19, idadi ya walengwa kwa kundi la kipaumbele pamoja na idadi ya chanjo zilizopatikana kwa sasa. Aidha, Serikali kupitia mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA), Maabara ya Mkemia Mkuu, Maabara kuu ya Taifa na Vyombo vingine, vyote vimehakiki na kujiridhisha usalama na ubora wa hizi chanjo za Janssen kutoka Kampuni ya Johnson & Johnson nchini Marekani. Kutokana na Mwongozo wa Chanjo wa Taifa dhidi ya Ugonjwa wa UVIKO, ule Shirika la Afya Duniani (WHO), maelekezo ya COVAX FACILITY na upungufu wa uzalishaji wa chanjo toka viwandani, Chanjo hizi KWA SASA zinatolewa kwa kufuata vipaumbele vya makundi yenye uhitaji mkubwa ambayo ni (1) Watumishi wa sekta ya Afya, (2) watu wazima umri wa miaka 50 na kuendelea na (3) watu wenye magonjwa.  BONYEZA HAP...

Habari Zilizopo Magazetini Leo 03.08.2021

 

Rais Samia ateua bosi mpya Tanroads

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Rogatus Mativila kuwa Mtendaji Mkuu mpya wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads). Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Julai 30, 2021 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu imesema kuwa Mativila ameteuliwa kuchukua nafasi ya marehemu Mhandisi Patrick Mfugale ambaye alifariki dunia tarehe 29 Juni, 2021. Kabla ya uteuzi huo Mativila alikuwa Mkurugenzi wa Barabara, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi). Pia, taarifa hiyo imesema kuwa, mkuu huyo wa nchi amemteua Profesa Yunus Daud Mgaya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Uvuvi Tanzania (Tafico). Kabla ya uteuzi huo Profesa Mgaya alikuwa Mkurugenzi Mkuu, Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu. Taarifa hiyo imesema kuwa uteuzi huo umeanza Julai 28, 2021.

Habari Zilizopo Magazetini Leo 01.08.2021