Skip to main content

Soma hapa Wasifu wa Marehemu William Ole Nasha (1972-2021)



 Aliyekuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Mbunge wa Ngorongoro (CCM), William Tate Ole Nasha alifariki dunia jijini Dodoma Septemba 27 mwaka huu.

Ole Nasha alizaliwa Mei 27, 1972. Alihitimu elimu ya msingi mwaka 1984 katika Shule ya Msingi Kakesio, kisha akajiunga Arusha Catholic Seminary Secondary School kwa elimu ya upili ambayo alihitimu mwaka 1989.

Aliendelea na elimu ya kidato cha tano na sita shuleni hapo na kuhitimu mwaka 1992.

Mwaka 1996 alijiunga Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambako alisoma Shahada ya Awali ya Sheria na kuhitimu mwaka 1999.

Kati ya mwaka 200 na 2001, Ole Nasha alisoma Shahada ya Umahiri ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Pretoria nchini Afrika Kusini.

Alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro kwa mara ya kwanza mwaka 2015, na aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli akamteua kuwa Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi.

Mwaka 2017 alihamishiwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika ngazi hiyo hiyo ya Naibu Waziri, nafasi aliyoishika hadi Oktoba 2020.

Katika uchaguzi wa mwaka 2020, Ole Nasha alichaguliwa tena kuwa mbunge wa jimbo hilo, na kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kabla ya kuhamishiwa Wizara ya Uwekezaji iliyopo Ofisi ya Waziri Mkuu Aprili 2019.

Mwili wa mwendazake William Tate Ole Nasha utazikwa Jumamosi, Oktoba 2,mwaka huu kujijini kwao mkoani Arusha.

Comments

Popular posts from this blog

NAFASI ZA KAZI MPYA UNICEF (Re- Advertisement): Temporary Appointment - Health (Financing) Specialist P3 Tanzania

APPLY NOW Job no:   576667 Contract type:   Temporary Appointment 💥 TAZAMA NAFASI MPYA UNICEF SENIOR OPERATIONS ASSOCIATIONS Duty Station:   Dar-es-Salaam Level:   P-3 Location:   United Republic of Tanzania Categories:   Health Deadline: 10 Nov 2024 11:55 PM UNICEF works in over 190 countries and territories to save children’s lives, defend their rights, and help them fulfill their potential, from early childhood through adolescence. At UNICEF, we are committed, passionate, and proud of what we do. Promoting the rights of every child is not just a job – it is a calling. UNICEF is a place where careers are built: we offer our staff diverse opportunities for personal and professional development that will help them develop a fulfilling career while delivering on a rewarding mission. We pride ourselves on a culture that helps staff thrive, coupled with an attractive compensation and benefits package. Visit  our website  to learn more about what we ...

Tangazo la Nafasi Za Kazi Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST)

  Apply Now Apply Now/Omba sasa nafasi hizi za kazi

Tech-Driven Conservation: Protecting the Congo Basin Rainforest

The Congo Basin rainforest, the world’s second-largest tropical forest, plays a crucial role in global biodiversity and climate regulation.  Spanning over 500 million acres, it is home to diverse wildlife, including gorillas, forest elephants, and rare plant species.  Additionally, the rainforest acts as a major carbon sink, helping mitigate climate change. However, illegal logging, mining, and agricultural expansion pose significant threats to this fragile ecosystem. Technology is emerging as a powerful tool in the fight against deforestation and habitat destruction.  Advanced satellite imagery and AI-powered monitoring systems are being used to track illegal activities in real time, allowing conservationists to respond swiftly to environmental threats.  Drones are also being deployed for aerial surveillance, capturing high-resolution images to assess forest health and detect deforestation hotspots. Blockchain technology is revolutionizing supply chain transparency,...