Nyati mweupe aonekana hifadhi ya Tarangire
Ni tukio la kushangaza sana na lililovutia watu na sehemu kubwa ya watalii
Nyati huyo mweupe ameonekana siku ya jumatatu tarehe 16 may 2022 mida ya jioni.
Kuonekana kwake kumevutia watalii wengi na watafiti kuanza kumfuatilia katika eneo hilo.
Jeremy peter shuhuda wa tukio hilo amesema nyati huyo ni mkubwa tofauti na wengine katika hifadhi hiyo na ameonekana akikaa katikati ya nyati wengine.