Skip to main content

Mafanikio ya Kipindi cha Miaka Mitatu ya Serikali ya Awamu ya Sita (2021 – 2024): Taarifa Kuhusu Maendeleo na Utendaji katika hifadhi za Taifa

 

Makala hii inaelezea mafanikio yaliyopatikana katika Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita. Katika mkutano uliofanyika mbele ya wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam tarehe 21 Machi 2024, Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA, Ndugu Juma Nassoro Kuji, alitoa taarifa kuhusu mafanikio hayo.

Kukuza na Kuendeleza Shughuli za Utalii:

    • Filamu ya "Tanzania: The Royal Tour" iliyoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ilichochea ukuaji wa utalii baada ya janga la COVID-19.
    • Ongezeko la idadi ya watalii katika Hifadhi za Taifa, kutoka 485,827 mwaka 2020/2021 hadi 1,514,726 mwaka 2023/2024.
    • Ongezeko la mapato ya TANAPA, kutoka shilingi bilioni 174 mwaka 2021/2022 hadi shilingi bilioni 340 mwaka 2023/2024.

Kuongezeka kwa Masoko Mapya ya Utalii:

  • Ukuaji wa masoko mapya ya utalii kutoka nchi kama China, Urusi, na Israel.
Kutambulika Kimataifa:

    • TANAPA ilipokea tuzo ya "Best Practice Award" kutoka European Society for Quality Research (ESQR) kwa miaka mitatu mfululizo.
    • Hifadhi za Taifa Serengeti, Tarangire, na Kilimanjaro zilipokea tuzo mbalimbali za kimataifa.

      Kuongezeka kwa Uwekezaji wa Malazi:
    • Ongezeko la maeneo ya malazi katika Hifadhi za Taifa, kutoka vitanda 5,755 mwaka 2021 hadi vitanda 10,094 mwaka 2024.
  1. Kuongezeka kwa Bidhaa za Utalii:
  • Ongezeko la aina mpya za utalii kama utalii wa faru, utalii wa baiskeli, na mbio za marathon.
    Kujiunga na Mfumo wa Utoaji wa Huduma kwa kiwango cha Kimataifa (ISO):
  • TANAPA ilikubaliwa na Shirika la Viwango Duniani (ISO) kwa utoaji wa huduma bora.
    Kuimarishwa kwa Miundombinu:
  • Ujenzi na ukarabati wa barabara, madaraja, na viwanja vya ndege katika Hifadhi za Taifa.
    Utangazaji wa Vivutio vya Utalii Kidigitali:
  • Kuongezeka kwa wafuasi kwenye mitandao ya kijamii ya TANAPA.
  • Usanifu wa taarifa za kidigitali za TANAPA kwa urahisi wa upatikanaji wa habari.
    Ushirikishwaji wa Jamii katika Uhifadhi:
  • Miradi ya kijamii kama ujenzi wa madarasa na zahanati imefadhiliwa.
  • Utekelezaji wa miradi ya uzalishaji mali kama ufugaji wa nyuki na uchakataji wa viungo vya chakula.
  • Ufadhili wa masomo kwa wanafunzi na uandaaji wa mipango ya matumizi bora ya ardhi na hati za kimila kwa jamii.
    Elimu kuhusu Uhifadhi na Upandaji wa Miti:
  • Ongezeko la idadi ya wananchi wanaofikiwa na elimu ya uhifadhi.
  • Uendeshaji wa programu za upandaji miti na kuibua miradi ya kijamii.
    Ushughulikiaji wa Migogoro ya Mipaka na Wanyama Wafugaji:
  • Utatuzi wa migogoro ya mipaka na kudhibiti wanyama waharibifu.
  1. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania litataendelea kusimamia jukumu la kuhifadhi maliasili zote na kutunzwa kikamilifu wakati wote. Ulinzi wa malisili, usalama wa watalii, usalama wa watumishi wa TANAPA, na usalama wa wawekezaji utaendelea kuimarishwa wakati wote ili kuhakikisha kuwa Hifadhi za Taifa Tanzania zinaendelea kuwa ni maeneo salama na sahihi kwa watalii na wawekezaji.

    Kamishna Kuji alitoa wito wa kuwakaribisha wawekezaji kuwekeza katika maeneo yaliyoainishwa katika Hifadhi za Taifa kwa nia ya kuboresha huduma za malazi kwa wageni. Sambamba na uwekezaji, Kamishina Kuji alitoa wito kwa watanzania kutembelea hifadhi zetu kwa ajili ya kujivinjari na kupumzika.

Comments

Popular posts from this blog

NAFASI ZA KAZI MPYA UNICEF (Re- Advertisement): Temporary Appointment - Health (Financing) Specialist P3 Tanzania

APPLY NOW Job no:   576667 Contract type:   Temporary Appointment 💥 TAZAMA NAFASI MPYA UNICEF SENIOR OPERATIONS ASSOCIATIONS Duty Station:   Dar-es-Salaam Level:   P-3 Location:   United Republic of Tanzania Categories:   Health Deadline: 10 Nov 2024 11:55 PM UNICEF works in over 190 countries and territories to save children’s lives, defend their rights, and help them fulfill their potential, from early childhood through adolescence. At UNICEF, we are committed, passionate, and proud of what we do. Promoting the rights of every child is not just a job – it is a calling. UNICEF is a place where careers are built: we offer our staff diverse opportunities for personal and professional development that will help them develop a fulfilling career while delivering on a rewarding mission. We pride ourselves on a culture that helps staff thrive, coupled with an attractive compensation and benefits package. Visit  our website  to learn more about what we ...

Tangazo la Nafasi Za Kazi Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST)

  Apply Now Apply Now/Omba sasa nafasi hizi za kazi

Tech-Driven Conservation: Protecting the Congo Basin Rainforest

The Congo Basin rainforest, the world’s second-largest tropical forest, plays a crucial role in global biodiversity and climate regulation.  Spanning over 500 million acres, it is home to diverse wildlife, including gorillas, forest elephants, and rare plant species.  Additionally, the rainforest acts as a major carbon sink, helping mitigate climate change. However, illegal logging, mining, and agricultural expansion pose significant threats to this fragile ecosystem. Technology is emerging as a powerful tool in the fight against deforestation and habitat destruction.  Advanced satellite imagery and AI-powered monitoring systems are being used to track illegal activities in real time, allowing conservationists to respond swiftly to environmental threats.  Drones are also being deployed for aerial surveillance, capturing high-resolution images to assess forest health and detect deforestation hotspots. Blockchain technology is revolutionizing supply chain transparency,...