Hot Posts

6/recent/ticker-posts

NEW JOBS VACANCIES:MTENDAJI WA KIJIJI III - 1 POST

EMPLOYER: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
DEADLINE :  2024-07-03
QUALIFICATIONS
Kuajiriwa mwenye Elimu ya kidato cha Nne(IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: 
Utawala,Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

Chapisha Maoni

0 Maoni