Skip to main content

Posts

Showing posts from December, 2021

Rais Mwinyi amteua Charles Hilary kuwa Mkurugenzi wa habari

  Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, leo Desemba 30 amemteua mtangazaji nguli, Charles Hilary kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu – Zanzibar. Pia Rais Mwinyi amemteua Yusuph Majid Nassor kuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) na Dkt. Idrissa Muslim Hija kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar.

MHE.RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

 

Marekani: Mamia ya nyumba zateketezwa kwa moto huko Colorado

  Jimbo la Colorado nchini Marekani linakabiliwa na kisa cha moto na karibu nyumba 600 zimeteketezwa kwa moto. Makumi ya maelfu ya watu wamelazimika kuhama na moto bado haujadhibitiwa, unaochochewa na upepo mkali na ukame uliyokithiri.   Awali iliripotiwa kuwa ni moto wa nyika uliyozuka Alhamisi, Desemba 30 baada ya kuanguka kwa nguzo za umeme kutokana na upepo mkali. Mto huu haujadhibitiwa kabisa, ukichochewa na dhoruba kali inayotembea zaidi ya kilomita 180 kwa saa na ukame wa kihistoria. Hali ilichukua mkondo wa janga jana jioni wakati moto ulipowaka katika miji miwili ya ukubwa wa kati huko Colorado, Superior (mji wenye wakazi 13,000) na mji wa Louisville wenye wakazi 20,000, inayopatikana karibu na Boulder, moja ya maeneo makuu ya chuo kikuu cha serikali. Maelfu kadhaa ya wakaazi tayari wamehama, wengi wakishangazwa na kasi ya moto huo. Wengi walikuwa na dakika chache tu kuondoka.

Habari Zilizopo Magazetini Leo Tarehe 31.12.2021

 

Habari Zilizopo Magazetini Leo tarehe 30.12.2021

 

Powerful Morning Bible Verses To Start Your Day With—Heading for the New Year 2022

  Psalm 143:8 Cause me to hear your loving kindness in the morning, for in you do i trust , cause me to know the way in which i should walk , for i lift up my soul to you. Matthew 6:33 Seek the Kingdom of God above all else, and live righteously, and he will give you everything you need. Phillipians 4:13 I can do all things through Christ who strengthens me. Psalm 30:5 For his anger lasts only a moment, but his favor lasts a lifetime! Weeping may last through the night , but joy comes with the morning. Please comment below your favorite Bible verse when you wake up in the morning, your comments are very useful and valuable to the community we serve and you might help someone today!!!.

World-famous Wildlife at Risk

  Tanzania supports the greatest quantity of wildlife in all Africa, yet it may shock you to know that 762 species of animal found in this country are either endangered or critically endangered - a status given when last-resort efforts are required to avoid their near-future extinction. Here Samana Karim identifies some of the iconic creatures on that list and reveals how we can all play a part in ensuring they remain part of Tanzania’s rich wildlife tapestry. If an animal is listed as endangered international union for the conservation of nature ( IUCN ), what exactly does that mean and is there anything that can be done to rescue the species from terminal decline?  The definition applies to any species that is at risk of extinction because of a sudden rapid decrease in population or a loss of its critical habitat. Endangered species come in all different shapes and sizes, can be a plant or animal, living on land or sea. So far more than 96,500 species have been assessed for...

COVID-19 : UAE suspends flights from Tanzania, Ethiopia, Nigeria and Kenya

The United Arab Emirates (UAE) has announced a moratorium on flights for passengers from Tanzania to Kenya, Ethiopia, and Nigeria and increased travel restrictions on Ugandan and Ghanaian flights, with effect from December 25. The National Emergency and Disaster Management Authority (NCEMA) and the country's Civil Aviation Authority (GCAA) have said the new measures will be implemented from 1:30 pm on Saturday night. The move includes suspending entry of travelers to the four countries 14 days before the UAE. However flights from the UAE to those countries continue as planned. The country has also imposed new travel restrictions on passengers arriving by direct flight from Uganda and Ghana. These conditions include testing the COVID-19 tests within 48 hours and the PCR testing at the airport within six hours before embarking on a flight. UAE nationals have been barred from traveling to the four African countries except for emergency medical treatment, official missions and scholars...

NEW JOBS OPPORTUNITIES AT UNIVERSITY OF DAR-ES-SALAAM ,UDSM DECEMBER 2021

The University of Dar es Salaam, through the Government of the United Republic of Tanzania, has received financing from the World Bank towards the cost of the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project with Loan No. /Credit No. / Grant No. 166415 and intends to use part of the proceeds for hiring an Executive Assistant. INVITATION TO APPLY The University of Dar es Salaam now invites eligible candidates to apply for the job. Interested candidates should provide information that demonstrates that they have the requisite qualifications and relevant experience for the job.

Acer Big Specifications Computer with Cheap price from GSX

 Acer : 14” inch  i5: 2.40ghz /2.50ghz 4/500gb, HDMI NVIDIA GeForce graphics , CD  Free bag charger mouse 1100¥

AMAZING SAMSUNG PHONES AT A CHEAP PRICE

 Note10 2000rmb, 2sim 2650rmb 256GB NOTE10+ 2450rmb, 2sim 2999rmb 256GB S10+ 1850¥  2sim 2150¥ 128GB S9 999¥ 64GB S9+ 1200¥ 64GB S10 1599¥ 2sim 1899¥ 128GB Welcome for orders