Skip to main content

MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II (COMMUNITY DEVELOPMENT ASSISTANT II)


Location : Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe
Number of posts: 3
Deadline: 12/03/2026

Duties and responsibilities
Kusaidia kubuni na kupanga mipango na miradi ya maendeleo katika eneo lake,
Kusaidia uwezeshaji na upatikanaji wa mafunzo kuhusu masuala ya maendeleo katika eneo lake
Kushiriki katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo.
Kusaidia kutoa elimu kuhusu kazi za kujitegemea katika eneo lake,
Kuandaa na kutoa taarifa za kazi za maendeleo ya jamii kila mwezi kwa uongozi wa kijiji na kwa Msimamizi wake wa kazi,
Kusaidia kuunda vikundi vya kijamii na vya kimaendeleo.
Kutambua na kuwezesha kaya masikini kuinua uchumi wao kupitia fursa na rasilimali zinazowazunguka.
Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi


Qualifications

Kuajiriwa mwenye Astashahada (Certificate) ya Maendeleo ya Jamii kutoka Vyuo vya Maendeleo ya Jamii au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo wa fani zifuatazo: Maendeleo ya Jamii (Community Development),Sayansi ya Jamii (Sociology, Masomo ya Maendeleo (Development Studies),Mipango na Usimamizi wa Miradi (Project Planning and Management),Jinsia na Maendeleo (Gender and Development),Rural Development, Au fani nyingine zinazofanana na Maendeleo ya Jamii.


Remuneration:
TGS B

#nafasimpyazakazi #daresalaamjobs #newjobsopportunities #jobstanzania #newopportunities #newemploymentopportunities #hiringnow #scholarshipsopportunities #fullyfundedscholarships #fullyfunded #mabumbe #ajiraleo #ajiraportal #ajiratz #brightermonday #cvpeople #jobshunting #jobsinarusha #jobsindar #jobsinmbeya #jobsinmwanza #jobsindodoma #chinascholarships #chinascholarshipsopportunities #ajiraportaltz

Comments

Popular posts from this blog

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MPYA ZA HALMASHAURI (9)

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele amepokea kibali cha Ajira mpya  kwa ikama ya mwaka 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe  29/04/2025. Hivyo, anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa za  kujaza nafasi zifuatazo 1. MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (NAFASI 03) 2. MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II (NAFASI 03) 3. DEREVA DARAJA LA II (NAFASI 03) Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz/  (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa ('Recruitment Portal'). Apply now #nafasimpyazakazi #daresalaamjobs #newjobsopportunities #jobstanzania #newopportunities #newemploymentopportunities #hiringnow #scholarshipsopportunities #fullyfundedscholarships #fullyfunded #mabumbe #ajiraleo ...

FULLY FUNDED: Qatar Government Scholarships 2022

  Qatar Government Scholarship 2022 is open. Qatar Government Scholarships Is not only for the specific program while it gives Fully Funded Scholarships in a variety of courses/majors to  International students as well as for  Qatar Students. You may be thinking about the Language of Instruction, So it is in English. Applicants who are interested to spend his upcoming years in Qatar can apply for  Full-time Masters Degree or a Ph.D. Degree or Non-Degree Programs. This is the only Government University in Qatar, Locates in Doha, and has Research Accreditation.  47 Bachelors, 29 Masters, 20 Ph.D. programs, 09 Diplomas, and a Doctor of Pharmacy (PharmD) are Qatar university courses. Qatar Scholarship can be taken by All Nationality regardless of Academic Background. This is the Most Prestigious Scholarship to  Study in Qatar. All other Tuition Fees, Accommodation, Stipend & Books related expenses are covered in this Qatar Scholarship by the Government of Q...

NIHR Global Advanced Fellowship 2024

Calling for applications for NIHR Global Advanced Fellowship 2024! The Global Advanced Fellowship is a mid-career postdoctoral award. The scheme will create a career pathway for Global Health researchers from the UK and low and middle income countries to become research leaders. This £750,000 award will fund research projects, training and development, and institutional capacity strengthening. The programme funds researchers undertaking research that aims to specifically and primarily benefit people in LMICs eligible for Official Development Assistance (ODA). APPLY NOW!!! OFFICIAL WEBSITE