Location : Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe Number of posts: 3 Deadline: 12/03/2026 Duties and responsibilities Kusaidia kubuni na kupanga mipango na miradi ya maendeleo katika eneo lake, Kusaidia uwezeshaji na upatikanaji wa mafunzo kuhusu masuala ya maendeleo katika eneo lake Kushiriki katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo. Kusaidia kutoa elimu kuhusu kazi za kujitegemea katika eneo lake, Kuandaa na kutoa taarifa za kazi za maendeleo ya jamii kila mwezi kwa uongozi wa kijiji na kwa Msimamizi wake wa kazi, Kusaidia kuunda vikundi vya kijamii na vya kimaendeleo. Kutambua na kuwezesha kaya masikini kuinua uchumi wao kupitia fursa na rasilimali zinazowazunguka. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi Qualifications Kuajiriwa mwenye Astashahada (Certificate) ya Maendeleo ya Jamii kutoka Vyuo vya Maendeleo ya Jamii au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo wa fani zifuatazo: Maendeleo ya Jamii (Community Development),Sayansi ya Jamii (S...
Your First Step Towards Success

Comments
Post a Comment