Skip to main content

RAIS MWINYI ASHIRIKI FUTARI ILIYOANDALIWA NA RAIS SAMIA IKULU TUNGUU-ZBR


*RAIS MWINYI ASHIRIKI FUTARI ILIYOANDALIWA NA RAIS SAMIA IKULU TUNGUU-ZBR*


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika kwenye Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa Viongozi wa Serikali, Vyombo vya ulinzi na Usalama, Siasa , Dini  na Wananchi mbalimbali katika Viwanja vya Ikulu ndogo ya Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 19 Februari 2026.

#nafasimpyazakazi #daresalaamjobs #newjobsopportunities #jobstanzania #newopportunities #newemploymentopportunities #hiringnow #scholarshipsopportunities #fullyfundedscholarships #fullyfunded #mabumbe #ajiraleo #ajiraportal #ajiratz #brightermonday #cvpeople #jobshunting #jobsinarusha #jobsindar #jobsinmbeya #jobsinmwanza #jobsindodoma #chinascholarships #chinascholarshipsopportunities #ajiraportaltz

Comments

Popular posts from this blog

10 BENEFITS OF EXERCISES NO.10 WILL SHOCK YOU

"Exercise is the key not only to physical health but to peace of mind." - Nelson Mandela "Exercise not only changes your body, it changes your mind, your attitude, and your mood." - Unknown  "Take care of your body; it's the only place you have to live." - Jim Rohn Exercise refers to physical activity that is performed with the intention of improving or maintaining one's physical fitness and overall health.   There are so many benefits of exercises that we could talk about , but we will focus on the 10 most important ones from having better sleep quality, heathy brains to better Sex Life, the benefits are too many. 1. Better sleep quality Exercises helps you sleep better at night and fights insomnia by making sure you are sufficiently tired before bedtime.  Furthermore doing exercises help to relieve our stress hence keeping our mind and body relaxed, so negative thoughts will not keep you awake for hours at night. 2. Protection against health cond...

Rais Samia afanya uteuzi tena, Hamad NHC, Mchechu Hazina?

 Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:- Amemteua Bw. Nehemia Kyando Mchechu, kuwa msajili wa Hazina. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mchechu alikuwa Mkurugenzi MKUU wa shirika la nyumba la Taifa (NHC). Bw. Mchechu anachukua nafasi ya Bw. Mgonya Benedicto ambaye atapangiwa kazi nyingine. Pia amemteua Bw. Hamad Abdalah kuwa MKURUGENZI Mkuu wa SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), Kabla ya uteuzi huo , Bw. Abdallah alikuwa Mkurugenzi mtendaji wa GIMCOAFRICA Limited na anachukua nafasi ya Bw. Mchechu ambaye ameteuliwa kuwa msajili wa Hazina. Zaidi Rais Samia amemteua Bw. Mussa Mohammed Makame, kuwa Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la maendeleo ya petroli Tanzania (TPDC), na pia ni mshauri mwelekezi wa masuala ya mafuta na gesi nchini Tanzania. Bw. Makame anachukua nafasi ya Dkt. James Mataragio ambaye atapangiwa kazi nyingine Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 24 Februari 2023.

Wildlife Conservation Society (WCS)

WCS Tanzania About WCS Tanzania Program We work to protect Tanzania’s unique biodiversity and rich natural heritage through science, landscape level interventions, community support, species conservation and addressing key global challenges. The Wildlife Conservation Society has been working in Tanzania since 1956 with a unified country program since 2006. WCS has carried out a vast range of activities, encompassing training, research, monitoring, institutional and community support, education, and the creation, extension and management of key protected areas. CONSERVATION SIGNIFICANCE Tanzania has unparalleled wildlife and natural resources.   Perched on the crossroads of many of the extensive biomes that cover Africa, it also boasts the highest and lowest points on the continent; the top of Mt. Kilimanjaro and the bottom of Lake Tanganyika.  Whilst recognised for its unmatched concentrations of large herbivores, the remarkable diversity of habitats from coral reefs to montan...