Hot Posts

6/recent/ticker-posts

idadi ya uwindaji wa kitalii yaongezeka nchini kwa asilimia 21.8%



hii imethibitishwa na waziri wa maliasili na utalii mh.mohamed mchengerwa ambaye amesema sekta ya utalii imeshuhudia kuvunjwa kwa rekodi ya idadi ya watalii waliotembelea nchi yetu kwa shughuli mbalimbali za kitalii wakiwemo watalii wa uwindaji wa kitalii ikiwa ni idadi kubwa kuwahi kuipokea kuliko wakati wowote katika historia ya kuanzishwa kwa sekta hiyo.

why should you visit mkomazi national park? 🦏

aidha kwa upande wa tawa watalii wa uwindaji wameongezeka kutoka 541 kwa mwaka 2021/22 hadi 692 sawa na asilimia 21.8 kwa kipindi cha miezi 10tu ya mwaka wa fedha 2022/23.